Sunday, 27 August 2017

FURSA

UTANGULIZI
Fursa ni nafasi ya kufanya jambo lolote lenye manufaa. (An opportunity is favourable time or set of circumstance of doing something) Chochote unachoweza kufanya na kikaleta manufaa ni FURSA.
Jambo lolote zuri huwa na manufaa pale tu mhusika anapoamua kulifanya kwa vitendo, na hii ndo maana halisi ya kutumia fursa.
Chanzo kikubw cha umaskini na kutofanikiwa katika nyanja mbalimbali kimaishi ni kutotumia vizuri fursa tulizonazo. (The big mistake in life is to let an ample opportunity lie dormant) Watu wengi wanashindwa kunufaika na fursa zao aidha kwa sababu hawazitambui au hawajui namna ya kuzitumia .

Karibu sana katika page hii tujifunze mengi juu ya na namna ya kutaua na kutumia fursa tulizonazo. 

No comments:

Post a Comment